• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

TIMU ZA DHARURA NA MAAFA MKOANI KIGOMA ZAANZA KUPATIWA MAFUNZO Training

Posted on: April 17th, 2024

Na Mwandishi Wetu

Kamati za maafa ambazo pia ni timu za dharura Mkoani  Kigoma zimeanza  kupata Mafunzo na kujengewa uwezo juu ya masuala ya kuimarisha ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa ya mlipuko katika maeno yao.

Mafunzo hayo yameanza kutolewa Jana April 16, 2024  Wilayani Kasulu na Wataalamu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA) na Wataalamu kutoka Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa Wataalamu wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji, Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza na Kakonko.


Akitoa utangulizi Wakati wa Mafunzo Mkurugenzi wa mradi wa Afya Moja kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu idara ya Menejimenti ya Maafa, Sera, Bunge na Uratibu Dr. Salum Manyatta  alisema Mafunzo hayo yanatolewa kwa Siku nne (04) kwa Wataalamu wa Sekta Afya, Mifugo, Maliasili, Mazingira, Waratibu wa Maafa, Wataalamu wa Maabara na Wataalamu wa Mawasiliano.


Alisema  mafunzo haya yanafanyika chini ya mradi wa Afya moja unaofadhiliwa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) na mada mbalimbali zitawasilishwa ikiwa ni pamoja na kupitia miongozo na namna kukabiliana na tathimini ya milipuko ya magonjwa, maafa na Majanga.


Mratibu kutoka Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) ambaye ni muepidemiolojia Dr. Justine Assenga alisema mradi wa Afya moja unalenga kutatua Afya za viumbe mbalimbali ikiwemo Afya za Binadamu, Wanyama na Mimea.


Asilimia Sitini  (60%) ya magonjwa yanayomuathiri mwanadamu yakiwemo magonjwa ya mlipuko yanatoka kwa Wanyama kwenda kwa binadamu (Zoonatic disease) kama vile  Ebola, Marbug, Kichaa cha Mbwa, Kimeta, na ugonjwa wa Macho Mekundu(Red eyes).


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz      




Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC KIGOMA AONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI, KUELEKEA SIKU YA USAFI DUNIANI. Sanitation

    June 02, 2025
  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa