• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

UJENZI WA SOKO LA MWANGA KISASA KUANZA, WAFANYABIASHARA WASHAURIWA, full council

Posted on: May 18th, 2022

Na Mwandishi Wetu    

Baraza la Madiwani Manispaa ya Kigoma/Ujiji limeridhia wafanyabiashara wa soko la Mwanga kupisha ujenzi wa soko hilo kisasa hadi kufikia June 30, 2022 na kuhamia soko la jipya la Masanga lililotengewa

Baraza hilo lililofanyikia ukumbi wa Manispaa hiyo leo May 18, 2022 limeridhia  mara baada ya Meya na Mwenyekiti wa baraza hilo Mhe. Baraka Naibuha Lupoli   kuruhusu Wàheshimiwa Madiwani  kupiga kura ili ujenzi kufanyika katika soko hilo

Meya na Mwenyekiti wa Baraza hilo  amesema  kujengwa kwa soko hilo kutaboresha mazingira ya wafanyabiashara Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa kukuza mapato ya ndani na kuvutia wawekezaji  kibiashara

Ameendelea kusema kujengwa kwa soko hilo  kisasa kutaboresha Mandhari (mwonekano) na kupendezesha na kukuza usafi  wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji  

Akihutubia baraza hilo Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe amelipongeza Baraza la Madiwani kwa uamuzi waliofanya kutokana na mpango wa kuanza ujenzi wa soko ili kuboresha Mazingira yatakayokuza uchumi wa Wafanyabiashara na wakazi wa Manispaa hiyo

Ameendelea kuwataka wafanyabiashara wa soko hilo kuitikia wito wa kuondoka mapema kabla ya  tarehe iliyopangwa  na kuhamia soko jipya la Masanga ambalo wametengewa kufanya biashara zao katika kipindi chote cha ujenzi wa soko hilo la Mwanga kisasa

Mkuu huyo wa Wilaya amehitimisha kwa kulitaka Baraza la Madiwani  kuanza kutafuta vyanzo vingine vya fedha ili kuanza ujenzi wa soko la Kigoma Mjini ili kuendelea kuboresha maisha ya wakazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kutokana na manufaa ya ujenzi huo  

Naye Diwani wa Kata ya Kasingirima Mhe. Abdallah Kiembe amesema kuanza kwa ujenzi huo kutakuza uchumi na kuboresha huduma bora kwa Wananchi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji  kwa kuinua vipato vyao

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)   Wilaya ya Kigoma Ndugu. Alhaji Yassini Mtalikwa amesema chama hicho kinaridhishwa na utendaji kazi wa baraza hilo la Madiwani  huku akisema hawatavumilia viongozi wowote wanaohujumu na kukwamisha  miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Awali Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Athumani Msabila akiwasilisha taarifa amesema Soko la Mwanga linatarajiwa kujengwa kisasa Mapema kuanzia mwezi July, Mwaka huu kwa ufadhili wa Benki ya Dunia (WB)  kupitia mradi wa TACTICS huku akisema tayari wafanyabiashara wameshaarifiwa  kuhamia soko la Masanga ili kupisha ujenzi huo kabla ya June 30, 2022 na Miundombinu ya Maji,  Umeme, na Umeme inaendelea kukamilishwa 

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa