• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA 48 MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI WAKAMILIKA , School Construction

Posted on: January 2nd, 2022

Na Mwandishi wetu

Manispaa ya Kigoma/Ujiji imepongezwa kwa kukamilisha  Ujenzi wa vyumba vya madarasa arobaini na nane (48) kwa ubora na wakati vilivyojegwa kwa kiasi cha fedha za Kitanzania Million mia tisa sitini (Tsh 960,000,000/=) kutokana na fedha za Mradi wa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko-19

Yalisemwa hayo na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander  Mahawe siku ya Ijumaa Desemba 31, 2021 wakati akikabidhiwa miundombinu hiyo katika Shule ya Sekondari Buteko iliyopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji mara ya baada ya kukamilika

Mkuu huyo wa Wilaya alimpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za Ujenzi wa vyumba vya madarasa Nchi nzima huku akisema kukamilika kwa ujenzi huo kutaboresha kukua kwa viwango cha elimu Nchini

Mkuu huyo wa Wilaya alizipongeza kamati mbalimbali za Ujenzi zilizo shiriki huku akisema miundombinu hiyo itakuwa chachu na motisha kwa mazingira ya Ufundishaji na Ujifunzaji kwa walimu na wanafunzi

Aidha Mkuu huyo wa Wilaya aliwataka wananchi, Walimu na wanafunzi kuhakikisha wanalinda muundombinu hiyo ili kuweza kutumika kwa mda mrefu na kuwanufaisha wanafunzi walio wengi watakao kuwa wakijiunga na masomo ya Upili katika Manispaa hiyo

Awali Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Athuman Msabila  akisoma Taarifa ya Mradi  alisema kukamilika kwa ujenzi huo kutasaidia Wanafunzi elfu mbili mia nne (2400) kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza kwa wakati na kusoma kwa awamu moja kwa Shule za Sekondari zilizopo  

Mwenyekiti wa bodi ya shule ya Sekondari Buteko Ndugu. Dismas Nyakamwe alipongeza jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuendelea kuboresha huduma za jamii huku akisema bodi ya Shule ikishirikana na Wananchi watahakisha wanalinda miundombinu ya madarasa  na  kuwa manufaa kwa wanafunzi walio  wengi

Wilaya ya Kigoma ilipokea kiasi cha fedha za Kitanzania  billion mbili (Tsh 2,850,000,000) kutoka kwa Serikali Kuu  kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu  sekta ya Elimu na afya  ikiwa ni ujenzi wa  vyumba vya madarasa sitini na tisa (69), ujenzi wa Vyumba vya madarasa katika vituo Shikizi 6, na ujenzi wa nyumba za watumishi wa Afya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na ujenzi wa madarasa arobaini na nane Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Picha na video za vyumba vya madarasa  Tembelea Maktaba ya Picha kwa tovuti www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • ZAHANATI MPYA YA KITONGONI NA KIBIRIZI ZAANZA KUTOA HUDUMA. Health

    June 23, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI INAENDELEA KIBIRIZI. Land clinic

    June 20, 2025
  • MATIBABU YA KIBIGWA YANAENDELEA KITUO CHA AFYA UJIJI, FIKA PATA MATIBABU. Health

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA UNYWAJI MAZIWA YAFANYIKA KIGOMA UJIJI.

    June 17, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa