• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

UPASUAJI WA KWANZA KITUO CHA AFYA CHA GUNGU MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI WAFANYIKA Healthly

Posted on: January 5th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Upasuaji wa kwanza kwa Mama mjamzito  katika kituo cha afya cha Gungu umefanyika Leo January 5, 2023  Mara baada ya uzinduzi wa kuanza kwa  huduma hiyo

Upasuaji huo umeanza Mara baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe kuzindua kuanza rasmi kwa huduma hiyo ya Upasuaji katika kituo hicho cha Afya cha Gungu

Akizindua huduma hiyo Mkuu huyo wa Wilaya ameipongeza na kushukuru Serikali kwa namna ambavyo imeendelea kuboresha huduma za afya katika Wilaya hiyo ikiwemo uboreshaji wa huduma na Ujenzi wa Majengo  katika Kituo cha afya kipya cha Buhanda na uboreshaji wa huduma kituo cha afya cha  Ujiji  

Aidha amewataka Watumishi wa Afya kufanya kazi kwa weredi na kuonesha upendo kwa Wagonjwa wanaofika kupata huduma ya matibabu katika kituo hicho wakiwemo  Wajawazito watakaokuwa wakipata huduma ya upasuaji mara baada ya  uchungu pingamizi katika kipindi cha kujifungua

Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Dr. Hashimu Mvogogo amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassani   imefanikisha Ujenzi wa   Jengo la Wagonjwa wa Nje, Maabara, Jengo la kufulia,  jengo la wodi ya Wazazi na Upasuaji katika kituo hicho cha afya cha Gungu kwa gharama ya  fedha za Kitanzania Millioni Mia tano (Tsh 500, 000, 000/=) ikiwa ni pamoja na ununuzi wa vifaa vya Upasuaji pamoja na vifaa vya uhifadhi damu salama

Amesema Serikali imeendelea kufanya uboreshaji wa huduma katika kituo hicho ikiwa ni pamoja na kuongeza damu  kutokana na uwepo wa vifaa vya utunzaji damu salama

Amesema kupatikana kwa huduma hizo kutaondoa utoaji rufaa kwa Wagonjwa kuelekea  katika hospitali ya Babtisti na Hospitali ya rufaa ya Maweni kupata huduma ya Upasuaji pamoja na kuongezewa damu

Nao baadhi ya Wananchi Waliohudhuria katika ufunguzi huo akiwemo  Samsoni Nathani na Bi. Grace Nashoni wameipongeza Serikali kwa jitihada za uboreshaji na upatikanaji wa huduma bora za afya huku wakisema huduma hizo utahakikisha Usalama wa maisha ya Mama na Mtoto pindi Mjamzito anapojifungua    


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa