• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

VIONGOZI WA ALAT-TAIFA WAFANYA ZIARA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI NA KUWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI SHUGHULI ZA MAENDELEO, Local Authority

Posted on: October 26th, 2021

Na Mwandishi wetu

Viongozi wa Kitaifa wa  Jumuia ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) wameanza ziara yao  Manispaa ya Kigoma/Ujiji iliyopo Mkoani Kigoma leo October 26,2021 ikiwa ni ziara yao ya kwanza tangu kuchaguliwa kushika nyazifa hizo

Ziara hiyo imehusisha Mwenyekiti wa ALAT-Taifa  Mhe. Murshid Ngeze  akiwa na Katibu Mkuu Mtendaji  wa ALAT-Taifa Ndugu. Elirehema Moses Kaaya  kwa lengo la kutembelea miradi inayotekelezwa katika Manispaa hiyo na ufuatiliaji wa Ukusanyaji na matumizi ya mapato ya ndani

Ziara hiyo imetanguliwa kwa viongozi hao wa Kitaifa kufanya kikao na Watumishi wa Manispaa hiyo huku wakiwataka watumishi hao kuendelea kufanya kazi kwa uaminifu kwa lengo la kuleta maendeleo ya wananchi

Aidha Mwenyekiti huyo wa ALAT- Taifa ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita  kupeleka  fedha za Kitanzania  Million mia tisa sitini (Tsh 960,000,000/=)   za ujenzi wa vyumba vya madarasa arobaini na nane (48) kwa Shule za Sekondari za Manispaa hiyo huku akiwataka wananchi kushiriki katika  shughuli za  maendeleo kama vile kuchangia fedha na nguvu kazi

Wakiwa katika Shule ya Sekondari Mlole wameendelea kuipongeza Serikali kwa kuendelea kuboresha miundombinu ya maabara kwa shule za Sekondari na kukuza usomaji wa wanafunzi  wa Masomo ya Sayansi mashuleni ambapo katika shule hiyo Serikali imetoa kiasi cha Fedha Million sitini (Tsh 60,000,000/=) ya ujenzi wa maabara ya Bailojia na Phizikia


Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Athuman Msabila akiwasilisha taarifa kwa  Viongozi wa ALAT-Taifa amesema kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 Manispaa ya Kigoma/Ujiji imepitishiwa jumla ya Tsh 31,949,472,000/= ikiwa Mishahara ni Kiasi cha Tsh 19,120,360,000/=, matumizi Mengineyo ni  Tsh 800,815,000/=na Tsh 9,171,583,000/= kwa ajili ya miradi ya Maendeleo na Tsh 2,856,714,000/= ikiwa ni makusanyo ya Mapato ya ndani

Miradi mingine iliyotembelea ni pamoja na ujenzi wa madarasa matatu shule ya Msingi Mwasenga yakigharimu kiasi cha million sitini (Tsh 60,000,000/=), ukamilishaji wa Ujenzi  wa jengo la Upasuaji na  wodi ya wazazi  katika kituo cha afya cha Gungu ukigharimu kiasi cha Fedha Million mia mbili sabini (Tsh 270,000,000/=, kutembelea kikundi cha wajasiliamali cha Mshikamano kilichopo eneo la Gungu kikjishughulika na utengenezaji na uuzaji wa fenicha  ikiwa kimenufaika mkopo  asilimia kumi (10%) kutoka katika mapato ya ndani kiasi cha fedha za Kitanzania Million kumi na mbili (Tsh 12,000,000/=)na kutembelea Soko la Mwanga

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa