• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

VIONGOZI WA WILAYA YA KIGOMA WAJENGEWA UWEZO JUU YA KIWANDA CHA MBOLEA KINACHOTARAJIWA KUJENGWA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI

Posted on: September 13th, 2021

Na Mwandishi Wetu

Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Kigoma na Baraza la Madiwani Manispaa ya Kigoma/Ujiji leo September 13, 2021 zimejengewa uelewa juu ya kiwanda cha Mbolea kinachotarajiwa kujengwa Kata ya Kibirizi  eneo la Katosho

kikao hicho cha uelewa kimefanyika chini ya Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe katika Ukumbi wa Manispaa hiyo  ambapo Shirika la Utunzaji Mazingira Ziwa Tanganyika (LATAWAMA) ndilo Mfadhiri wa Ujenzi wa kiwanda hicho

Mkurugenzi wa Shirika la Utunzaji Mazingira (LATAWAMA) Ndugu. Didier Cadelli amesema kiwanda hicho cha kuzalisha Mbolea kitasaidia kuongezeka kwa uzalishaji wa mazao kwa wakulima waliopo Mkoani Kigoma, Mikoa jirani na Nchi jirani kama Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Congo

Amesema kiwanda hicho kitakachojengwa kitatumia malighafi za taka zinazooza  zinazozalishwa majumbani na masokoni ambapo zaidi ya Tani mia moja na arobaini (Tonnes 140) za taka huzalishwa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa siku na asilimia sitini (60%) ya taka hizo ni taka zinazooza

Meya wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Mhe. Baraka Lupoli amesema Manispaa ya Kigoma/Ujiji iko tayari kwa ajili ya ujenzi huo wa kiwanda kitakacholeta ajira kwa wakazi wa Manispaa hiyo na kuinua uchumi wa wakulima wa Mkoa wa Kigoma na Nje ya Mkoa

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji  Ndugu. Athumani Msabila ametoa wito kwa wakazi wa Manispaa hiyo kuchagamukia fursa ya ukusanyaji taka huku akisema taka sio uchafu bali ni malighafi inayoweza kutengeneza kipato

Amewataka wakazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa Kata na Mitaa  ambazo hazijaunda vikosi kazi vya usafi wananchi kuunda vikundi hivyo kwa ajili ya kukusanya taka na kuzipeleka katika maeneo yaliyotengwa na kujipatia kipato kutokana na shughuli hiyo

Ujenzi wa Kiwanda cha Mbolea Manispaa ya Kigoma/Ujiji utawanufaisha Asilimia sabini (70%) ya Wakazi wa Mkoa wa Kigoma  ambao ni wakulima na tayari  Wakazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji  wamehamasishwa kuunda vikosi kazi vya usafi kwa kila mitaa ambapo wanakuwa wakipita katika makazi, taasisi za Serikali na zisizo za Serikali, na maeneo ambayo  shughuli za kiuchumi hufanyika katika ukusanyaji wa taka, Mitaa thelathini na tatu (33) kati ya sitini na nane (68) zimeunda vikosi kazi vya usafi  ambapo makusanyo ya fedha asilimia sitini (60%) hubaki kwa kikosi kazi huku asilimia (40%) huenda Ofisi ya Mkurugenzi kwa mjibu wa Sheria ndogo za Manispaa hiyo

Picha na video zaidi ingia katika maktaba ya picha kwa kubofya  www.kigomaujijimc.go.tz














Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa