• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WADAU MBALIMBALI WA ELIMU WAHAMASISHWA KUBORESHA MAZINGIRA YA WALIMU NA WANAFUNZI MASHULENI Education sector

Posted on: February 8th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Wadau mbalimbali wa  elimu wametakiwa kujitokeza na kuweka mazingira  bora ya ufundishaji na ujifunzaji kwa ujenzi wa Miundombinu ya Walimu na wanafunzi  kwa lengo la kuinua na kuboresha viwango vya elimu katika Manispaa ya Kigoma/Ujiji


Yamesemwa hayo na Mkuu wa idara ya Mipango na Uchumi Ndugu. Frednand Filimbi kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Leo Februari 08, 2022  wakati akimuwakilisha katika zoezi la upokeaji wa zawadi  kwa Wanafunzi waliofaulu kwa wastani wa juu kitaaluma katika Shule ya Msingi Gungu na Kikunku

Mkuu huyo wa idara amewapongeza wafadhiri wa Kigoma Elimu Foundation (KIEF) kwa kuendelea kutoa michango ya kielimu kila mwaka na utoaji wa motisha kwa Wanafunzi wa  Manispaa ya Kigoma Ujiji ambao wamekuwa wakifanya vizuri kitaaluma  


Ameendelea kusema Mchango huo wa kielimu utainua viwango vya ufaulu kwa wanafunzi na kushika nafasi za juu katika mitihani ya kitaifa mashuleni na maendeleo ya Wanafunzi wenyewe


Aidha amewataka wadau wengine kujitoleza kwa kufadhiri miundombinu ya kielimu kama vile Vyumba vya madarasa, Vyoo, Nyumba za Walimu,  ugawaji wa chakula na Uji mashuleni pamoja na taulo kwa wanafunzi wa  kike


Awali akiwasilisha taarifa kwa Mgeni Rasmi Mwenyekiti wa Kigoma Elimu Foundation (KIEF) Mkoani Kigoma  Ndugu. Ismail Ally Kahenga amesema tangu Mwaka 2017 wamekuwa wakifadhili na kuweka mazingira mazuri ya Ufundishaji na Ujifunzaji kwa kujenga  Miundombinu ya Umeme mashuleni, kulipia masomo ya ziada kwa wanafunzi, ugawaji wa sare za Shule na msaada wa ushauri wa kujiunga na shule na vyuo mbalimbali ambapo kwa Mwaka 2020 wanafunzi 180 walinufaika


Ameendelea kusema kwa Mwaka 2022 jumla ya wanafunzi 240  wa Shule  za Msingi Rubuga, Kitongoni, Msingeni, Kichakachui, Kibirizi, Bangwe, Gungu, na Kikunku watanufaika kwa zawadi mbalimbali zenye thamani   gharama ya Tsh. 3,600,000/=  Kwa kugawiwa Daftari, kalamu, Rula, Mikebe na Fulana  


Naye Afisa elimu Msingi Ndugu. Richard Mtauka amesema Manispaa ya Kigoma/Ujiji imeendelea kufanya vizuri kitaalamu katika Mitihani ya Kitaifa ambapo kwa miaka saba mfululizo katika Mtihani wa Kitaifa imeendelea kushikiria nafasi ya kwanza Kimkoa  huku mwaka 2022 Wanafunzi waliofanya Mtihani Kitaifa wakiwa 5256 na wanafunzi 4644 wakifaulu sawa na asilimia 88 na kushika nafasi ya pili kimkoa


Naye Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kikunku amewashukuru wafadhiri hao wa Kigoma Elimu Foundation (KIEF) kwa zawadi zilizotolewa kwa Wanafunzi waliofaulu kitaaluma huku akisema imekuwa Motisha chanya katika kuhakikisha kila mwanafunzi anapenda kujifunza na kufaulu mitihani ya ndani na nje   na matarajio ya wanafunzi yakiwa makubwa kutokana na zawadi zilizotolewa

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa