• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

AFISA ELIMU TAALUMA ASEMA "HALI NI SHWALI KATIKA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA" HAKUNA TAARIFA YEYOTE MBAYA

Posted on: May 8th, 2018

Afisa elimu taaluma sekondari Tabu Malima asema mtihani wa kidato cha sita na ualimu ulioanza jana may 7 umeanza katika hali ya uzuri, ameyasema hayo asubuhi ya leo akiwa ofisini kwake ambapo pia ametoa takwimu za walimu tarajali na wanafunzi walioanza mtihani huo wa kuhitimu taaluma pamoja na masomo ya wanafunzi hao

Afisa elimu taaluma huyo amesema idadi ya vituo vya mtihani katika manispaanya Kigoma/Ujiji vipo jumla ya saba(7) ambapo vituo vya watahiniwa wa shule(school candidate) vipo vitatu (3) vyenye jumla ya wanafunzi mia mbili tisini na nane(298) , vituo vya watahiniwa wa kujitegemea vipo vitatu(3) vyenye jumla ya wanafunzi mia moja ishirini na moja(121), na kituo kimoja(1) cha walimu tarajali chenye jumla ya watahiniwa kumi na tano(15) na kufanya jumla ya watahiniwa mia nne thelathini na nne(434)

Ameendelea kusema katika watahiniwa wote hakuna mlemavu aliyopo katika watahiniwa na kusema mtihani ulianza vizuri hapo jana na hakuna taarifa mbaya ambayo imeripotiwa katika vituo hivyo vyote vya mtihani kwa mitihahani ambayo imeshafanyika na ameendelea kusema wasimamizi wa mitihani hiyo wamepewa maadili ya kusimamia mitihani hiyo na kuwataka wasimamizi na wanafunzi kutojitokeza kwa hali ya udanganyifu wowote unaoweza kujitokeza.

Mtihani huo ulioanza jana kwa kidato cha sita may 7 ulianza kwa somo la general study kwa asubuhi na mchana yakafanyika masomo ya geography 1,French 1,na accountancy1, ambapo leo asubuhi yatafanyika masomo ya Kiswahili, basic applied mathemathics, advanced mathematics, na jion kufanyika englishi language, chemistry,na economics na mitihani hiyo inatarajia kukamilika may 18 mwaka huu kwa masomo ya phyiscs practical, computer science na Islamic knowledge kwa mikoa yote ya Tanzania bara na Zanzibar ambapo jumla ya watahiniwa wa shule(school candidate) 77,222 walianza mitihani hiyo nchini, watahiniwa wa kujitegemea 10,421 walianza mitihani na watahiniwa walimu tarajali 7,422 kwa ngazi ya cheti na stashahada nao pia walianza mitihani kwa kumitimu mafunzo ya taaluma ya ualimu.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa