• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WAKAZI WA KIJIJI CHA NYABIGUFA KATA YA MKONGORO WAIPONGEZA SERIKALI KWA UJENZI WA DARAJA, National Torch

Posted on: September 27th, 2021

Na Mwandishi wetu

Wakazi  wa Kijiji cha Nyabigufa kilichopo Kata ya Mkongoro Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wameipongeza Serikali kwa kuwajengea daraja chini ya Wafadhili katika Mto Nyabigufa kutokana na kukosekana kwa huduma za jamii kabla ya daraja hilo

Wakazi hao wameelezea furaha yao mara baada ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2021 zikiongozwa na Luteni Josephine Paul  Mwambashi kufika katika daraja hilo kwa lengo la kuzindua mradi huo

Daraja hilo lililogharimu kiasi cha fedha Million Mia Moja kumi na sita laki sita  (116,600,000/=) likiwa limejengwa chini ya ufadhili wa Taifa la Ubelgi chini ya Shirika la Enable huku kiasi cha Millioni kumi na nne laki nne (14,400,000/=)  ikiwa ni Mchango wa Wananchi na kiasi cha fedha Million tisa laki sita (9,600,000/=) ikiwa ni fedha za usimamizi kutoka mfuko wa Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini(TARURA)

Baadhi ya Wananchi akiwemo Bi. Ntayakila na Mzee Hassani Hamisi wamesema  awali hasa kipindi cha Mvua wananchi walikuwa wakishindwa kuvuka katika mto huo na kufanya wananchi kushindwa kufika katika maeneo mhimu kama huduma za jamii ambapo baadhi ya wanawake walipoteza maisha kwa kushindwa kufika katika zahanati kwa lengo la kujifungua na wengine wakipoteza watoto wao kwa kushindwa kujifungua kwa wakati

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa akitoa salamu za Mwenge kwa Wananchi wa Kijiji cha Nyabigufa ameipongeza Serikali kwa kutafuta wafadhili waliowezesha kujengwa kwa daraja hilo ambalo limekuwa mkombozi kwa wakazi wa eneo hilo na maeneo jirani huku akiitaka Tarura kuendelea kufatilia utunzaji ya daraja hilo

Mbio za Mwenge wa Uhuri leo zimekimbizwa Wilayani Kigoma zikitokea Wilayani Uvinza ambapo jumla ya miradi nane (08) imetembelea, kuzinduliwa na kuwekewa jiwe la Msingi huku Jengo lakujifungulia na  Upasuaji kwa wanawake  katika kituo cha Afya cha Gungu likishindwa kuwekewa jiwe la Msingi kutokana na kutilia shaka matumizi ya fedha na  TAKUKURU ikiamuliwa kufuatilia ujenzi mradi huo

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Kikundi cha wanawake wajasiriamali Tupendane kinachojishughulisha na uchakataji mise Simbo, Daraja la Mto Nyabigufa, Mradi wa Maji Matyazo Kalinzi, Mradi wa Jengo la kujifungulia na upasuaji kituo cha Afya cha Gungu, kutembelea ujenzi wa Madarasa Shule ya Msingi Kigoma,kutembelea  Mifumo ya Tehama Ofisi ya Mkurugenzi, na uzinduzi wa Madarasa Shule ya Msingi Mwasenga ikigharaimu kiasi cha fedha za Kitanzania Billioni Moja Million arobaini na sita laki tatu na kumi na tano mia tano kumi na tatu (Tsh 1,046,315,513)

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa