• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WAKUU WA WILAYA WATEULE MKOANI KIGOMA WAAPISHWA, WATAKIWA KUJENGA MAHUSIANO MAZURI NA WANANCHI NA KUSIKILIZA KERO ZAO Oath

Posted on: June 21st, 2021

Na Mwandishi wetu

 Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Adengenye leo June 21, 2021 amewaapisha Wakuu wa Wilaya Wateule  wa Wilaya za Mkoa huo huku akiwataka kujenga mahusiano mazuri na Wananchi na kusikiliza kero zao na kuzitatua kwa kufanya mikutano   

Amewataka wakuu wa wilaya wote waliochaguliwa kuwatumikia wananchi kwa kusimamia miradi ya barabara, Maji, Umeme na miundombinu ya Afya na Elimu inayoendelea kujengwa katika Wilaya zao kwa kuhakikisha viwango na ubora wa miradi unazingatiwa

Ameendelea kuwataka Wakuu wa Wilaya hao kusimamia suala la ulinzi na usalama katika maeneo yao na kuhakikisha wanadhibiti upenyo wa wahamiaji haramu kuingia Nchini kupitia katika  Wilaya za Mkoa huo   kwa kuhakikisha vikao vya kamati za Ulinzi na usalama ngazi  Mtaa na Kata vinafanyika na Wananchi wanashirikishwa  

Aidha Mkuu huyo amewataka wakuu wa Wilaya kusimamia  ukuaji wa uchumi kwa wananchi katika sekta ya kilimo  kwa kuhakikisha pembejeo kwa wakulima zinapatikana na kuepuka kilimo cha mikono  na kutenga maeneo ya uwekezaji kwa kila Halmashauri

Katibu tawala wa Mkoa wa Kigoma Ndugu. Rashidi Mchata akiongea katika uapisho huo amewapongeza wakuu wa wilaya kwa kuaminiwa na kuchaguliwa katika nafasi hiyo  huku akiwataka kutoa ushirikiano kwa kuwatumikia wananchi wa mkoa huo

Wakuu wa Wilaya walioapishwa ni pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Ester Mahawe, Mkuu wa Wilaya ya Kasulu  P 8608 Col.I.A  Mwakisu, Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col. E.M. Malasa, Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Hanafi Hassani Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Kibondo P 8310 Col. A.J. Magwaza na Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Col. Michael Nyangalina

Uapisho huo umehudhuriwa na  Kamati ya Ulinzi na Usalama ngazi ya Mkoa na Wilaya, Sekretarieti ya Mkoa,Wakuu wa wilaya wastaafu, Wakuu wa Taasisi za Serikali na zisizo za Serikali,Viongozi wa vyama vya Kisiasa, Viongozi wa dini, Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Idara , Waandishi wa Habari na  Wananchi

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa