• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WANAFUNZI WA CHUO CHA UTANGAZAJI UJIJI WAPEWA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA UKATILI MITANDAONI.

Posted on: November 27th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi kwa Kushirikiana na Jeshi la Polisi wametoa mafunzo ya namna ya kukabiliana na  kutokomeza Vitendo vya Ukatili wa mitandaoni kwa Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari na Utangazaji (Ujiji Broadcasting Academy) kilichopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji.


Akifungua mafunzo hayo Mratibu wa Dawati la Jinsia Manispaa ya Kigoma/Ujiji Bi. Aida Nzoa amesema mafunzo hayo yanalenga kuongeza uelewa na kuunganisha nguvu katika kutokomeza vitendo vya ukatili ndani ya jamii.


Amesema elimu hiyo inatolewa katika maeneo mbalimbali ikiwa ni maadhimisho ya Siku 16 za  kupinga ukatili wa kijinsia yanayofanyika  Novemba 25 hadi Desemba 10 Kila Mwaka.


Afisa Maendeleo ya Jamii Bi. Bernadetha Ntembeje amewataka Wanafunzi wa chuo hicho kupinga vitendo vya ukatili mitandaoni unaofanyika kupitia vifaa vya kidigitali kama vile Simu ya mkononi, Kompyuta, Saa janja, na  Runinga.


Amewataka kutumia vifaa hivyo katika ujifunzaji wa masomo ya  kitaaluma, na kutumia vifaa hivyo katika kuielimisha Jamii kupinga vitendo hivyo ambavyo vimekuwa vikiathiri hasa kundi la Wanawake na Watoto.


Amesema ukatili wa mitandao umekuwa ukisababisha madhara  ya udharirishaji wa Kingono, Wasiwasi, na Vifo.


Kauli mbiu ya Mwaka huu " Tuungane kutokomeza Ukatili wa Kijinsia Mtandaoni".


 Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • "VIJANA MIAKA 45 KUSHUKA CHINI WANARUHUSIWA KUKOPA, TUMETANGAZA TENA MILLION 440" MABUBA. Loan

    December 04, 2025
  • "HAKUNA MWANANCHI ANAYETEMBEA UMBALI WA ZAIDI YA KM 3 KUFUATA HUDUMA ZA MATIBABU KIGOMA UJIJI" MABUBA. Health

    December 04, 2025
  • MIUNDOMBINU YA KUKUSANYA MAJI YA MVUA KUANZA KUJENGWA SOKO LA MASANGA. Construction

    December 04, 2025
  • "TUJIVUNIE KIGOMA YETU, MASOKO MAKUBWA YANAJENGWA" MABUBA. High Project

    December 04, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa