• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WANANCHI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UANDAAJI WA BAJETI ZA SERIKALI society in preparation of Government Budget

Posted on: November 23rd, 2021

Na Mwandishi wetu

Wananchi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji jana Novemba 22, 2021 walipewa elimu ya  kushiriki shughuli za maendeleo ikiwemo ushiriki wa uandaaji wa bajeti za Halmashauri kuanzia ngazi ya mtaa


Elimu hiyo ilitolewa na Mchumi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Bi. Mwajuma Ally alipokuwa katika kipindi cha #morningtrumpet kinachorushwa  na Cicora radio 98.9 kila siku saa moja hadi saa nne asubuhi


Katika kipindi hicho Mchumi huyo alisema  kila Mwaka Kuanzia Mwezi Agosti hadi Septemba Maafisa watendaji Kata na Mitaa huelekezwa kufanya mchakato wa maandalizi ya bajeti kwa kuainisha vipaumbele  vya maendeleo na miradi  ambayo hujadiliwa katika Mkutano Mkuu wa wananchi wa Kata na kuwasilishwa katika vikao vya Bàraza la Madiwani kuanzia mwezi January hadi Mwezi March na ya Taifa huidhinishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muugano wa Tanzania Mwezi Aprili – hadi Juni kila mwaka


Aidha amesema mikutano hiyo ya wananchi ni Mhimu  kwa sababu hujadili Kuwezesha utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya jamii, Kuwezesha mgawanyo mzuri wa rasilimali

na husaidia kusimamia matumizi ya fedha za umma na hivyo kupelekea uwajibikaji wa Serikali kwa wananchi

Winfrida Bwire (Mtangazaji wa Kipindi hicho)

Mchumi huyo alihitimisha kwa kusema  kila     Mwananchi ana nafasi ya kushiriki katika kuidhinisha bajeti, kwa kuhudhuria mikutano ya hadhara katika ngazi ya Mtaa na kata yake pia kwa kuhudhuria katika Mabaraza ya madiwani au Bunge la bajeti kama msikilizaji hivyo Wananchi wahakikishe wanatumia fursa hiyo





Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa