• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WATAALAMU WAJENGEWA UWEZO WA ELIMU JUMUISHI KIGOMA UJIJI. Education

Posted on: June 12th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Timu ya ubainishaji wa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu ngazi ya Halmashauri Leo June 12, 2025 wameanza mafunzo ya siku mbili (02) kwa lengo la kuwezesha Walimu ngazi ya Shule kubainisha Wanafunzi hao.  


Mafunzo hayo yanafanyika chini ya Mradi wa Shule bora  unafadhiliwa na Serikali ya Uingereza Kupitia Mfuko wa UK aid kwa  Walimu, Maafisa Elimu Kata, Afisa Maendeleo ya Jamii, Afisa Ustawi, Daktari na mdhibiti ubora wa Shule.


Wakibainisha Wanafunzi wenye mahitaji maalumu wamesema miongoni mwao ni pamoja na Yatima, Viziwi, Albino, wenye ulemavu wa viungo, Usonji, Changamoto za ujifunzaji, wenye Vipawa na vipaji.


Akifungua mafunzo hayo Kaimu Afisa elimu Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Cornel Kisinga ameitaka timu hiyo kuzingatia mafunzo ili kuwezesha ubainishaji ngazi ya Shule na kuwawezesha Walimu kuwatambua na kuboresha ufundishaji na ujifunzaji.


Miongoni mwa mada zilizowasilishwa na zitakazowasilishwa ni pamoja na Dhana ya elimu Jumuishi, Changamoto na utatuzi wake, Afua stahiki na ubainishaji wa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu na uandaaji wa darasa Jumuishi.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • KLINIKI YA ARDHI INAENDELEA KIBIRIZI. Land clinic

    June 20, 2025
  • MATIBABU YA KIBIGWA YANAENDELEA KITUO CHA AFYA UJIJI, FIKA PATA MATIBABU. Health

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA UNYWAJI MAZIWA YAFANYIKA KIGOMA UJIJI.

    June 17, 2025
  • SIKU YA MTOTO YA AFRIKA YAADHIMISHWA KIGOMA UJIJI. African Child

    June 16, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa