• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WASAFIRI 8 KARANTINI MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI

Posted on: April 2nd, 2020

Watu nane wasafiri kutoka nchini Congo na Burundi wametengwa eneo maalumu Manispaa ya Kigoma/Ujiji baada ya kuwasili nchini Tanzania kupitia bandari ya Kibirizi iliyopo mkoani Kigoma

watu saba ni raia wa Tanzania  wanaofanya Shughuli za kusafirisha watu  kutoka Mkoani Kigoma kwenda Katika Nchi hizo na Raia mmoja kutoka Nchini Congo ambaye amesema alikuwa anakuja Nchini Tanzania kwa  ajili ya matibabu

Watu hao wametengwa eneo maalumu kutokana na Agizo la serikali la kutaka wasafiri wote wanaotoka Nchi zenye viashiria vya Ugonjwa huo kupimwa afya zao kwa mda wa siku kumi na nne

Kaimu katibu Tawala wilaya Bi. Lucia Oswald Chinguku  ameendelea kuwataka wakazi wa wilaya ya Kigoma kuendelea kuchukua tahadhari ya Ugonjwa huo kwa kuepuka mazoea ya kusalimiana, kukumbatiana na kuendelea kunawa mikono  kila mara kwa kutumia maji yanayotiririka na sabuni ili kuweza kuua vimelea vya ugonjwa huo

Akiongea Kaimu Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji  Dr. Shabaan Magorwa amesema tayari watu hao wamepimwa vipimo vya awali ambapo wameonekana hakuna mwenye dalili za Ugonjwa wa Corona

Kaimu Mganga Mkuu huyo ameendelea kusema licha ya afya zao kuonekana ni nzuri watatengwa eneo maalumu kwa mda wa siku 14  na wataendelea kupata vipimo kwa mda wa siku hizo kila siku asubuhi na jioni

Wakazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji tayari wameshapata elimu namna ya kujikinga na kuchukua tahadhari za Ugonjwa huo kwa njia ya Vyombo vya habari, elimu mashuleni,  Makanisani, Msikitini na matangazo ya sauti katika Makazi ya Watu.

Chukua Tahadhari kuepuka ugonjwa wa Corona.



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC KIGOMA AONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI, KUELEKEA SIKU YA USAFI DUNIANI. Sanitation

    June 02, 2025
  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa