• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WAZAZI NA WALEZI MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI WATAKIWA KUWAPELEKA WATOTO WAO KUPATA TIBA KINGA YA MINYOO NA KICHOO, Health

Posted on: May 23rd, 2021

Na mwandishi wetu

Kamati ya Afya Manispaa ya Kigoma/Ujiji imewataka wazazi na walezi kuwapeleka watoto wao wenye umri wa miaka mitano(05) hadi kumi na nne(14) kupata tiba kinga kwa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele inayotarajiwa kutolewa siku ya Ijumaa May 28,2021 katika shule za msingi

Kamati hiyo ilikutana siku ya Ijumaa May 21, 2021 katika ukumbi wa Manispaa hiyo ikiwa ni mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele na kwa Mkoa wa Kigoma ikiwa ni Magonjwa mawili (02) yaani Kichocho na Minyoo tumbo huku Kitaifa yakiwa ni magonjwa matano Matende na Mabusha, Kichocho,Minyoo tumbo,Usubi na Trakoma

Akifungua kikao hicho Mgeni Rasmi ambaye ni kaimu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndugu. Frednand Filimbi aliwataka wazazi na walezi kujitokeza kwa wingi kuwapeleka na kuwasimamia watoto wao kupata tiba kinga ili kuondokana na athari zitokanazo na magonjwa hayo

Aliendelea kusema ili kuweza kukua kiuchumi na kuwa na watoto wenye uwezo darasani hata katika shughuli za kila siku ni lazima jamii izingatie afya yao na ya watoto wao kwani kupuzia kupata chanjo kutasababisha magonjwa hayo kudhorotesha kufanya kazi kwa jamii na kuingia katika umasikini

Akiwasilisha taarifa Mratibu wa Magonjwa yasiyopewa Kipaumbe Manispaa ya Kigoma/Ujiji Benjamini Yustus alisema ili kujikinga na magonjwa hayo ya Kichocho na Minyoo tumbo wananchi wanapaswa kuacha tabia ya kujisaidia choo ndogo na kubwa katika vyanzo vya maji ili kuepukana na magonjwa hayo na kuacha tabia ya kutumia maji yaliyotuama sehemu moja na kwa mda mrefu

Aliendelea kusema athari za magonjwa hayo ni pamoja kwa kudumaa kwa ukuaji wa mtoto, kujisaidia kwa choo na ndogo na kubwa yenye damu, kuvimba kwa ini na bandama hali ambayo kama mtoto asipopewa kinga tiba mapema huathiri suala la ujifunzaji darasani

Mganga mkuu wa Manispaa hiyo Dr. Sebastiani Siwale alisema idara ya afya imejipanga kutoa dawa kinga Albendazol na Praziquantel kwa watoto elfu hamsini na mia mbili ishirini na tano (50,225) huku akiwataka wazazi kuwaruhusu watoto wao kutokana na mwaka 2018 walitoa dawa kwa watoto elfu arobaini na tatu na sabini na tatu (43,073) sawa na asilimia themanini na nane (88%) wakati walengwa walikuwa elfu arobini na nane mia tisa thelathini na sita (48,936)

Aliwahakikishia wazazi na walezi dawa hizo hazina madhara yeyote licha ya kuwa maudhi madogo madogo kama vile kichefu chefu, kutapika,tumbo kuuma na kutokana na maudhi hayo mtoto atapaswa kunywa maji ya kutosha licha ya uwepo wa wataalamu wa huduma ya kwanza kwa shule zote za Msingi zilizoandaliwa

Naye Afisa elimu Afya na Mazingira Bi. Bukeye Gunaguje alisema tayari walimu wamepewa mafunzo ya kusimamia watoto katika siku hiyo ya utumiaji dawa, na kwa shule za msingi wanafunzi wote  watatakiwa kula chakula kabla ya kumeza dawa hizo ili kuepukana na maudhi madogo madogo

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa