• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WAZEE WAISHIO MANISPAA YA KIGOMA WAFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO, MZEE ZUBERI KISONGO AIBUKA KUWA MWENYEKITI WAO.ELECTION OF ELDERS

Posted on: February 4th, 2019

Wazee waishio katika halmashauri ya manispaa ya Kigoma/Ujiji ijumaa walikutana kwa lengo la kufanya uchaguzi wa viongozi wao.

Wazee hao walikutana katika ukumbi wa halmashuari ya Manispaa hiyo, huku uchaguzi huo ukisimamiwa na Kaimu Mkurugenzi wa halmshauri na Mkuu wa idara Elimu Sekondari Ndugu. Emmanuel Katemi.

Kaimu mkurugenzi aliwatangazia washiriki wote nafasi zinazotakiwa kupigiwa kura ikiwa ni pamoja na nafsi ya Mwenyekiti, Mwenyekiti Msaidizi, Katibu, Katibu Msaidizi, mhasibu, mwakilishi wanaume na nafasi ya mwakilishi wa wanawake.


Uchaguzi huo uliratibiwa na idara ya Afya chini ya Afisa ustawi Bi. Sada …….., akifungua kikao cha uchaguzi kaimu Mkurugenzi aliwataka wazee hao kupendekeza utaratibu upi utumike katika kuwapata viongozi kwa ngazi tofauti tofauti na utaratibu uliopendekezwa ikiwa ni kura kwa njia ya siri.

Naye kaimu Mkurugenzi huyo aliwatakia upigaji kura ulio mzuri, huku akiwaahidi kuwa haki itatendendaka kwa kila mhusika na uchaguzi huo utakuwa wa huru na haki.

Alieendelea kuwataka wazee kuwa makini katika kuchagua viongozi walio makini kwa kuwawakirisha vyema popote pale, na kuwataka kukubaliana na viongozi watakaotangazwa kutokana na kura zao.


Uchaguzi ulimalizika salama kwa nafasi ya mwenyekiti akitangazwa mzee Zuberi Kisongo, mwenyekiti msaidizi akiwa ni Tamasha shabani , katibu akiibuka mzee Kilozo Mussa Dunia, Mhasibu akiwa ni Hamisi  Baruti, Nafasi ya Mwakilishi wa wanaume akitangazwa Mzee Kitita Juma Magogwa, na kwa nafasi ya mwakilishi wanawake akitangazwa Mzee Zalifa Husseini.

Akitoa pongezi Mwenyekiti aliyechaguliwa Mzee Zuberi Kisongo alishukuru kwa uchaguzi uliofanyika na wazee wote wa mji akiahidi kuwafanyia kazi na kuwawakilisha vyema katika mambo mbalimbali ya kiutendaji ndani na nje ya Manispaa.

Viongozi hao waliochaguliwa wataenda katika kikao cha kuchagua viongozi wa mkoa pindi watakapoitwa.

PICHA ZAIDI INGIA KATIKA MAKTABA YA PICHA

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa