• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WIKI YA MAADHIMISHO YA SHEREHE YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAANZA KIGOMA/UJIJI KWA KUFANYA USAFI SOKONI Sanitation

Posted on: December 2nd, 2022

Na Mwandishi Wetu

Wananchi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Leo Desemba 2, 2022 wameanza kuazimisha wiki ya   ya Sherehe ya Miaka sitini na Moja (61) tangu Tanzania bara awali ikiitwa Tanganyika ilipojipatia Uhuru wake kutoka kwa Ukoloni wa Uingereza Desemba 9, 1961

Wananchi hayo wamefanya maadhimisho hayo kwa kufanya Usafi katika Soko la Buzebazeba wakishirikiana na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma na Viongozi wa Manispaa  kwa lengo la kuboresha na kukuza Usafi wa Soko hilo

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe akiwahutubia Wananchi na  Wafanyabiashara wa Soko hilo mara baada ya kukamilisha zoezi la usafi amewataka kujenga tabia ya  Usafi kila siku hata katika makazi yao  

Aidha amesema katika kuendelea kufanya Usafi kutawafanya kuepuka magonjwa ya mlipuko kama kipindu pindu  hasa katika kipindi hiki cha mvua

Naye Meya wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Mhe.  Baraka Naibuha Lupoli amewataka wanafanyabiashara hao kuendelea kuboresha Mazingira yao ya kazi kwa kufanya shughuli za Usafi ili kuwavutia wateja katika soko hilo

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndugu. Idrisa Naumanga amewataka wafanyabiashara kuzingatia Usalama wa afya  za wauzaji na walaji huku akiwataka Wataalamu wa Afya na Mazingira kuendelea kufanya ukaguzi wa Usafi katika masoko mengine yaliyopo na Makazi katika kata na Mitaa mbalimbali

Miaka 61 baada ya Uhuru wa Tanzania bara awali ikiitwa Tanganyika na  sasa inafahamika kwa jina la Tanzania kutokana na Muungano wake na Zanzibar mwaka 1964 na Kauli mbiu ya Mwaka huu ni "  Miaka 61 ya Uhuru, Amani na Umoja ni nguzo ya Maendeleo yetu ".

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa