• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

ZOEZI LA UTAMBUZI WA WATOTO WASIO KUWA SHULE LAANZA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI Educational

Posted on: March 5th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Zoezi la utambuzi na uhamasishaji kwa Watoto wenye Umri wa Miaka 7-14 Wasio kuwa Shule kurudi Shuleni limeanza Leo March 05, 2023 Manispaa ya Kigoma/Ujiji Katika Kata ya Kasimbu na Kibirizi

Zoezi hilo limeanza likiongozwa na kamati ya Uhamasishaji ngazi ya Kata na Mitaa likihusisha Afisa Elimu Kata,Mwenyekiti wa Mtaa,  Afisa Mtendaji Mtaa,  pamoja na Wahudumu ngazi ya Jamii likilenga kuandikishwa na kuanza masomo pasipo kikwazo chochote

Zoezi hili limeanza kwa kutoa elimu kwa Wazazi na Walezi  nyumba kwa nyumba na kubaini Watoto wasiopata elimu na zoezi hilo   linafadhiliwa na Shirika la UNICEF

Akizungumza katika zoezi hilo Mtendaji wa Mtaa wa Kibirizi Bi. Neema Rubabwa amesema zoezi limeanza kwa ufanisi ambapo mwitikio wa Wazazi umekuwa mkubwa kutokana na awali baadhi ya Wazazi na Walezi kushindwa kugharamia mahitaji ya Watoto wao na ugumu wa maisha

Amesema Serikali kwa kushirikiana na Shirika la UNICEF watahakikisha watoto hao wanapata elimu na kupata vifaa vitakavyosaidia katika kuendelea na kuhudhuria vipindi vya masomo

Amesema zoezi hilo litaendelea kufanyika kwa kuendelea kutoa elimu kwa Wazazi, Walezi na Jamii kupitia Mikutano ya hadhara, Viongozi wa dini, Matangazo na vipindi vya radio  

Zoezi hili linalenga kuwafikia Watoto  ambao hawakuwahi Kusoma, utoro, kuacha Shule, na Sababu zingine ambapo wenye Umri Miaka saba (07) wataandikishwa katika Mfumo rasmi  na uandikishaji wa Watoto wenye Umri wa Miaka 8-14 katika masomo ya MEMKWA  ya kujenga stadi za Kusoma,  Kuandika na kuhesabu na baadae kuingia katika mfumo rasmi

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa