Posted on: February 13th, 2026
Na Mwandishi Wetu
Mkuu wa wilaya ya kigoma Dr. Rashid Chuachua amewataka Wakuu taasisi za Serikali kusimamia ukusanyaji wa mapato ya ndani ili kuendelea kutekeleza miradi ya Maendeleo.
...
Posted on: February 13th, 2026
Na Mwandishi Wetu
Mkuu wa Wilaya ya Kigoma amewataka Walimu wa MEMKWA kutumia mbinu za kiubunifu katika ufundishaji wa Wanafunzi wao.
Ameyasema hayo Leo Februari 13, 2026 alipowahutubia...
Posted on: February 12th, 2026
Na Mwandishi Wetu
Walimu wa MEMKWA Manispaa ya Kigoma/Ujiji wanaendelea na Mafunzo ya Siku tano (05) kuhusu malezi,unasihi na ulinzi wa mtoto yakifanyikia Shule ya Msingi Muungano.
...